Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Tuesday 27 August 2013

MAREKEBISHO KWENYE VIFAA NA RATIBA YALIYOFANYIKA KIDAMALI IRINGA MEI 7, 2005

MAMBO MBALIMBALI YALIYOJADILIWA KAMA SEHEMU YA MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU WA UKOO

 

A: Mambo ya Muhimu ya Kuwezesha Mkutano Kufanikiwa

1.      Malazi : Kwa Wageni wote watakaokuja kwenye Mkutano Mkuu wa Ukoo Kidamali.

2.      Usafiri: Toka Iringa Mjini mpaka Kidamali, Iringa na kutoka Kidamali mpaka Iringa Mjini

3.      Chakula: Kwa siku za mkutano na kabla ya mkutano

4.      Vinywaji: Kwa siku za mkutano na kabla ya mkutano

·         Pombe ya Asili

·         Pombe ya Kisasa

5.      Burudani

·         Muziki wa Asili

·         Muziki wa Kisasa

6.      Makisio (Makadirio) ya Washiriki wa Mkutano (Tunategemea kuwa na Wanaukoo takribani 200  watakaohudhuria mkutano)

7.      Mchango wa Kufanikisha Mkutano

·         Waishio Mijini (Kima cha chini kimependekezwa Tsh. 15,000/- lakini njia ni nyeupe kwa wale ambao wataona kuna haja ya kuchangia kwa hali na mali ili  kuweza kufanikisha mkutano huo)

·         Waishio Vijijini (Kima cha chini kimependekezwa Tsh. 5,000/- pia wanashauriwa kuwa wanaweza kutoa kitu kingine chochote chenye thamani kama kuku wawili, mbuzi au vinginevyo)

8.      Mahali pa kufanyia Mkutano: Kuna kumbi mbili zimependekezwa; Kwa Sanga ndiyo umepewa asilimia kubwa. Kwenye ukumbi wa Justin kuna watu wanazungumzia imani zao zinawasuta kufika mahali pale. Pia kibiashara inaweza kumuathiri japo nadhani siyo suala la msingi sana. Majukumu ya ukumbi litashughulikiwa na Kamati ya Kidamali. Lakini maoni na mawazo yanakaribishwa kwa ajili mashauriano zaidi kuhusu sehemu ambayo watadhani inafaa zaidi.

 

Kuundwa kwa Kamati za Maandalizi

1.         Kamati ya Dar es Salaam inaongozwa na:

Kamati ya Dar es Salaam na mikoa ya karibu inayoshirikiana na Kamati ya Kidamali katika kufanya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Ukoo wa Kivenule ipo chini ya viongozo wafuatao:

1.      Mwenyekiti:                                Christian        Kivenule

2.      Makamu Mwenyekiti:               Athuman       Mtono

3.      Katibu:                                         Adam              Kivenule

4.      Mweka Hazina:                          Innocent        Kivenule

5.      Mshauri:                                      Edgar             Kivenule

 

 

2.         Kamati ya Kidamali inaongozwa na:

Kamati ya Kidamali inayoshirikiana na Kamati ya Dar es Salaam na Mikoa ya karibu katika kufanya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Ukoo wa Kivenule ipo chini ya viongozo wafuatao:

 

1.      Mwenyekiti:                                Faustin          Kivenule

2.      Makamu Mwenyekiti:               Aujen             Kivenule

3.      Katibu:                                         Jovin              Kivenule

4.      Mweka Hazina:                          Justin             Kivenule

5.      Mshauri:                                      Caroline         Kivenule

Donati                        Mhapa

Daniel                        Kivenule

 

Kamati hii itashughulikia majukumu yote ya maandalizi ya mkutano mkuu na shughuli zote za maandalizi ndani ya Kidamali na vijiji vya karibu. Itasimamia usambazaji wa barua za mialiko pamoja na za michango mbalimbali, usambazaji wa kadi za michango, ukusanyaji wa michango pamoja na kutekeleza majukumu mengine ambayo Kamati hizi mbili zitakuwa zimeshauriana. Kamati hii itafanya kazi chini ya uongozi ulioundwa na kutekeleza majukumu waliyokubaliana katika vikao vyao.

 

B: MAJUKUMU YA KAMATI ZOTE MBILI

1.      Kusambaza barua za mwaliko pamoja na maombi mengine kama michango nk. Kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa Ukoo pale zitakapohitajika.

2.      Kuratibu shughuli zote za Ukusanyaji wa Michango

3.      Kuandaa mikutano mbalimbali za maandalizi kwa kushirikisha ndugu mbalimbali wanaoishi sehemu tofauti. Mfano kwa Dar es Salaam kuna ndugu toka Kidamale, Ilole, Nduli na Ilula nk.

4.      Kuhamasisha Wanaukoo waishio kijijini Kidamali, Ilole, Nduli, Ilula na sehemu nyinginezo hapa Tanzania kuhusiana na umuhimu wa kuwepo kwa mkutano huo pia kutoa ushirikiano wa hali na mali katika zoezi zima la maandalizi.

5.      Kuandaa Mpango wa Kazi wa Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Ukoo

  • Kufanya vikao mbalimbali vya Kamati ya Maandalizi vitakavyoshirikisha Kamati zote mbili ya Kidamali na Dar es Salaam.
  • Kuwajulisha walengwa (Ndugu) umuhimu wa kujali muda wa kukusanya michango. Kwa mfano kuwaeleza Mwisho wa Ukusanyaji wa Michango (Mara baada ya kupata Barua na  Kadi).
  • Kuwashirikisha wadau wengine wasio ndugu katika kampeni za kukusanya michango. Mfano kuwaomba michango Wabunge, Madiwani, Maaskofu na watu wengine muhimu katika jamii zetu.

 

C: ORODHA YA UKOO WA AKINA KIVENULE WAISHIO DAR ES SALAAM

1.      Edgar                   Kivenule        (Mwenge Flats)

2.      Innocent              Kivenule        (Ubungo Jeshini)

3.      Athuman                         Mtono             (Kibamba)

4.      Adam                    Kivenule        (Ubungo Kibangu)

5.      Christian              Kivenule        (Matombo – Morogoro)

6.      Philemon             Kivenule        (Buguruni)    0744 029880

7.      Flora                     Kivenule        (Mabibo Sahara)

8.      Ignas                    Kivenule        (Tabata Shule)

9.      Sabina                 Mhapa            (Buruguruni)

10. Mama                   Tamasha       (Ubungo Kibangu)

11. Raphael               Kivenule        (Mbezi – Club Oasis)

12. Monica                 Kivenule        (Zanaki Street)

13. Priskusi                Kivenule        (Mbezi Juu)

14. Michael                Mhapa            (Ubungo Kibangu)

15.  Regina                Mapembe      (Kinondoni)

16. Evaristo                Mapembe      (Tabata)

17. Nuhu                    Mtono             (Mabibo)

18. Hamidu                Mtono             (Mabibo)

19. Sijali                     Kivenule        Kisukuli

20. Alexander            Nyangalima  (Morogoro)

21. Flomina               Kivenule        (Mbezi)

22. Fred                      Mapembe      (Tabata)

23. Thabit                   Mtono             (Kigamboni)

 

D: ORODHA YA UKOO WA AKINA KIVENULE WAISHIO NJE YA DAR ES

     SALAAM NA KIDAMALE

1.      Alphonce             Kivenule        (Ludewa)

2.      John                     Kivenule        (Kilombero)

3.      Zavery                  Kivenule        (Igowole/Sadani)

4.      Lizeta                   Kivenule        (Dodoma)

5.      Victoria                 Kivenule        (Dodoma)

6.      Goretha                Kivenule        (Mtera)

7.      Asia                      Kivenule        (Morogoro)

8.      Irene                     Kivenule        (                       )

9.      Furaha                 Kivenule        (                       )

10. Bakita                   Kivenule        (Mafinga)

11. Emmanuel          Kivenule        (                       )

12. Agatha                 Kivenule        (Dodoma)

13. Florian                 Kivenule        (Mafinga)

 

 

E: RATIBA YA MKUTANO MKUU WA KWANZA WA UKOO WA KIVENULE

Mahali pa kufanyia Mkutano:      _____________________________________

Tarehe:                                              17 – 18 Desemba 2005

Washiriki:                                          Ukoo Wote wa Kivenule na Wageni Waalikwa

 

Siku ya Kwanza ya Mkutano Mkuu wa Ukoo wa KIVENULE

Muda

Shughuli/Jukumu

Wahusika

12:00–12:45

Wageni Wote Kuamka na Kufanya Maandalizi ya Kuingia kwenye Mkutano

Wote

12:45–1:45

Kupata Kifungua Kinywa

Wote

1:45 – 2:45

Kuwasili Mkutanoni na Kujisajili

Wote

2:45 – 3:15

Ufunguzi wa Mkutano na Mgeni Rasmi

Mgeni Rasmi

3:15 – 4:00

Utambulisho baina wa wana Ndugu

Wote

4:00 – 4:45

Pumziko la Chai / Kahawa/Maji

Wote

4:45 – 5:30

Mada ya Kwanza: HISTORIA YA UKOO

Mtoa Mada na Mkubwa wa Ukoo

5:30 – 6:00

Majadiliano katika Makundi

Makundi 4

6:00 – 6:20

Murejesho na Majumuisho

Mwezeshaji

6:30 – 8:00

CHAKULA CHA MCHANA

Wote

8:00 – 8:45

Mada ya Pili: MAHUSIANO BAINA YA NDUGU NDANI YA UKOO WA KIVENULE

Mtoa MADA (…………………)

8:45 – 9:15

Majadiliano katika Makundi

Makundi 4

9:15 – 9:45

Murejesho na Majumuisho

Mwezeshaji

9:45– 10:45

Pumziko la Chai/Kahawa/Maji

Wote

10:45-1:30 Usiku

Mapumziko Marefu (Kusalimiana na Kufahamiana zaidi)

Ndugu na Wageni Wote

1:30 – 2:30

Chakula cha Usiku na Vinjwaji

Ndugu Wote

2:30 – 6:30

Burudani (Muziki wa Kisasa na Ngoma za Asili)

Wote

 

Siku ya Pili ya Mkutano Mkuu wa Ukoo wa KIVENULE

Muda

Shughuli/Jukumu

Wahusika

12:00– 12:45

Kuamuka na Kufanya Maandalizi ya Mkutano

Wote

12:45 – 1:45

Kifungua Kinywa

Wote

1:45 – 2:15

Kuwasili Mkutanoni na Kujisajili

Ndugu wote

2:15 – 2:45

Mada Ya Tatu: ELIMU NA MUSTAKABILI WA UKOO WA KIVENULE

Mtoa Mada

2:45 – 3:15

Majadiliano kwenye Makundi

Makundi 4

3:15 – 3:45

Murejesho na Majumuisho

Kiongozi wa Kundi na Mwezeshaji

3:45 – 4:30

Pumziko la Chai/Kahawa/Maji

Wote

4:30 – 5:00

Mada ya Nne: UKIMWI NDANI YA UKOO NA ATHARI ZAKE

Mtoa Mada

5:00 – 5:30

Majadiliano kwenye Makundi

Makundi 4

5:30 – 6:00

Murejesho na Majumuisho

Kiongozi wa Kundi na Mwezeshaji

6:00 – 7:15

CHAKULA CHA MCHANA

Wote

7:15 – 7:45

Mada ya Tano: DINI KATIKA UKOO

Mtoa Mada

7:45 – 8:15

Majadiliano kwenye Makundi

Makundi 4

8:15 – 8:45

Murejesho na Majumuisho

 

8:45 – 9:45

Majumuisho:

1.      Yote Yaliyojitokeza

2.      Matarajio

3.      Tarehe ya Mkutano Mwingine

Mwezeshaji

9:45 – 10:15

Shukurani toka kwa Ndugu Mbalimbali

Mgeni Rasmi, Ndugu

10:15–11:00

KUCHAGUA VIONGOZI WA KUUNDA KAMATI YA UKOO

Ndugu Wote

11:00

Kufunga Mkutano

Viongozi wa Kamati ya Ukoo

 

F: WAWEZESHAJI WA MADA (FACILITATORS)

1.      Agatha                 Mhapa

2.      Alphonce                         Kivenule

3.      Lizeta                   Kivenule

4.      Ignas                    Kivenule

5.      Siha                      Kivenule

6.      Christian              Kivenule

7.      Adam                    Kivenule

8.      Justin                   Kivenule

9.      Donath                 Mhapa

10. John                     Kivenule

11. Victoria                 Kivenule

12. Edger                   Kivenule

13. Piera                     Kivenule

14. Florian                 Kivenule

15. Innocent              Kivenule

16. Stephen               Mhapa

17. Severin                Nyangalima

 

G: WAHUDUMU: CHAKULA, CHAI/KAHAWA NA VINYWAJI

1.      Rahel                   Chambula

2.      Asia                      Kivenule

3.      Germana             Mhapa

4.      Mrs.                       Justin

5.      Mrs.                       Jovin

6.      Stewart                 Kivenule

7.      George                 Kivenule

8.      Janeth                  Kivenule

9.      Frola                     Kivenule (Supervisor)

10. Jovin                    Kivenule

11. Mama                   Tamasha (Supervisor)

 

H: MAANDALIZI YA VIFAA VYA KUTUMIA

Vifaa

Idadi

Bei

Jumla

1.      Sahani: Bati (150) na Udongo (50)

200

 

 

2.      Vikombe: Plastiki (150) na Udongo (50)

200

 

 

3.      Vijiko

200

 

 

4.      Biki

100

 

 

5.      Mark Pen

15

 

 

6.      Glasi

200

 

 

7.      Radio + 2 MIC

1*

 

 

8.      Flip Chart

1

 

 

9.      Meza

5

 

 

10. Viti + Fomu/Benji

100

 

 

11. Video Picture Camera

1

 

 

12. Still Picture Camera

2

 

 

13. Tissue Paper

20

 

 

14. Opener

10

 

 

Jumla

 

 

 

 

I:CHAKULA

Vifaa

Idadi

Bei

Jumla

15. Mchele

Kgs 300

 

 

16. Mahindi (Unga)

Gunia 2

 

 

17. Viazi Mviringo

Gunia 1

 

 

18. Unga wa Ngano

Kgs 50

 

 

19. Mafuta ya Kula (Alizeti)

Lita 40

 

 

20. Chumvi

Kgs 4

 

 

21. Appetizer (Kiongeza Mate)

Kopo 12

 

 

22. Maharage

Kgs 50

 

 

23. Mbuzi wa Nyama

2

 

 

24. Nyama ya Ng’ombe

Kgs 100

 

 

25. Mboza Majani

Maf. 20

 

 

26.Sukari

Kgs 25

 

 

27. Majani+Iliki

½ Dazani

 

 

28. Viungo: Nyanya

Tenga 3

 

 

29. Viungo: Vitunguee

Debe 1

 

 

Jumla

 

 

 

 

J: VINYWAJI

Vifaa

Idadi

Bei

Jumla

25. Soda

Kreti 20

 

 

26. Bia

Kreti 10

 

 

27. Maji (Madogo)

Katoni 50

 

 

28. Pombe ya Kienyeji

Plastiki 10

 

 

29. Sufuria

 

 

 

30. Plastiki za Maji

 

 

 

31. Pipa

 

 

 

32. Bakuli za Mboga

 

 

 

33. Miiko

 

 

 

34. Kuni

Tela 1

 

 

35. Mkaa

Gunia 2

 

 

Jumla

 

 

 

 

K: MENGINEYO

Vifaa

Idadi

Bei

Jumla

29. Kutangaza Mkutano

Poster 2, Vipeperushi

 

 

30. Kutangaza Mkutano

Mwandishi wa Habari 1

 

 

31. Maua na Mapambo

 

 

 

 

 

 

 

Jumla

 

 

 

 

L: MADA ZITAKAZOWASILISHWA KWENYE MKUTANO MKUU

1.      HISTORIA YA UKOO

  • Ukoo ni Nini na Unapatikanaje?
  • Dhana ya Kuenea na Kukua kwa Ukoo.
  • Mgawanyiko wa Ukoo (Chora Mchoro Kuonyesha Ukoo unavyoundwa).
  • Kupotea kwa Ukoo.

2.      MAHUSIANO BAINA YA NDUGU NDANI YA UKOO

  • Ukaribu wa Wana Ndugu.
  • Ushirikiano Katika Nyanja Mbalimbali.
  • Kutembeleana kama Sehemu ya Kudumisha Mahusiano.
  • Kuondoa Tofauti na Kusaidiana.

 

3.   ELIMU NA MUSTAKABALI WA UKOO

  • Nafasi ya Ukoo wa Kivenule katika Elimu.
  • Umuhimu wa Elimu.
  • Dunia ya Utandawazi.
  • Nini Kifanyike Kuinua Elimu Katika Ukoo Wetu.

 

4.   UKIMWI NDANI YA UKOO NA ATHARI ZAKE

  • UKIMWI ni nini?
  • Namna gani UKIMWI unavyoenea/kuambukizwa?
  • Njia Mbadala za Kujilinda na Maambukizi?
  • Jukumu la Ukoo/Familia Kukabiliana na Janga la UKIMWI.

 

5. DINI KATIKA UKOO

  • Maana ya Dini
  • Umuhimu wa Kuwa na Imani
  • Maadili na Dini
  • Ukoo Uliojengeka katika Misingi ya Dini

 

M:  MADA ZA KUJADILI KWENYE MAKUNDI

Mada ya Kwanza: HISTORIA YA UKOO

·         KUNDI LA KWANZA:   Ukoo ni Nini na Unapatikana

·         KUNDI LA PILI:                         Kuenea na Kukua kwa Ukoo

·         KUNDI LA TATU:         Mgawanyiko wa Ukoo (Chora Mchoro Kuonyesha Ukoo unavyoundwa)

·         KUNDI LA NNE:            Kupotea kwa Ukoo

 

Mada ya Pili: MAHUSIANO BAINA YA NDUGU NDANI YA UKOO

·         KUNDI LA KWANZA:   Ukaribu wa Wana Ndugu

·         KUNDI LA PILI:                         Ushirikiano Katika Nyanja Mbalimbali

·         KUNDI LA TATU:         Kutembeleana

·         KUNDI LA NNE:            Kuondoa Tofauti na Kusaidiana

 

Mada ya Tatu: ELIMU NA MUSTAKABALI WA UKOO

·         KUNDI LA KWANZA:   Nafasi ya Ukoo wa Kivenule katika Elimu

·         KUNDI LA PILI:                         Umuhimu wa Elimu

·         KUNDI LA TATU:         Dunia ya Utandawazi

·         KUNDI LA NNE:            Nini Kifanyike Kuinua Elimu Katika Ukoo Wetu

 

Mada ya Nne: UKIMWI NDANI YA UKOO NA ATHARI ZAKE

·         KUNDI LA KWANZA:   UKIMWI ni nini?

·         KUNDI LA PILI:                         Namna gani UKIMWI unavyoenea/kuambukizwa?

·         KUNDI LA TATU:         Njia Mbadala za Kujilinda na Maambukizi?

·         KUNDI LA NNE:            Jukumu la Ukoo/Familia Kukabiliana na Janga la

UKIMWI.

 

Mada ya Tano: DINI KATIKA UKOO

·         KUNDI LA KWANZA:   Nini Maana ya Dini?

·         KUNDI LA PILI:                         Umuhimu wa Kuwa na Imani

·         KUNDI LA TATU:         Maadili na Dini

·         KUNDI LA NNE:            Ukoo Uliojengeka katika Misingi ya Dini

 

 

N: MAAZIMIO YA MKUTANO

Licha ya kuwa na malengo na makusudia mbalimbali, pia tunategemea mwisho wa mkutano kutakuwa na mambo kadhaa ambayo yatakuwa ni makubaliano kutoka pande mbalimbali za ukoo wa Kivenule. Yote hayo kwa pamoja yatakuwa ni maazimio ya Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Ukoo wa Kivenule.

 

Kati ya Maazimio ambayo tunayategemea katika mkutano huo ni:

1.      Kufanya Senza ya Ukoo wa Kivenule ili kupata idadi kamili ya ndugu.

2.      Kuanzisha Mfuko wa Ukoo

3.      Kuchagua Viongozi wa watakaounda Kamati ya Ukoo ya Kuratibu mambo mbalimbali ya ukoo. (Mwenyekiti, Katibu, Mweka Hazina pamoja na viongozi wengine ambayo wana umuhimu na kupewa majukumu kuwepo).

4.      Uongozi utakaoundwa kufanya mashauriano na usuluhishi wa matatizo mbalimbali ya ukoo yaliyojitokeza.

5.      Kukusanya taarifa mbalimbali za ukoo

6.      Kuangalia na Kutathmini usalama wa mali mbalimbali zinazomilikiwa na ukoo nk.

 

O:  KAMATI MBALIMBALI ZITAKAZOUNDWA KUFANYA KAZI KABLA NA

WAKATI WA MKUTANO

1.      Kamati ya Mapokezi

2.      Kamati ya Malazi

3.      Kamati ya Chakula

4.      Kamati ya Vinywaji

5.      Kamati ya Burudani

6.      Kamati ya Usafiri

7.      Kamati ya Ulinzi na Usalama

8.      Huduma ya Kwanza

9.      Kamati ya Uratibu wa Shughuli za Mkutano

 

P:  VITAMBULISHO KWA AJILI YA MKUTANO MKUU WA UKOO

Kitambulisho kitakuwa na:

·         Jina la Mkutano

·         Jina:

·         Tarehe Mkutano:

·         Mahali Anapoishi:

 

 

 

 

No comments:

Post a Comment