Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Sunday 28 February 2016

ALAMA NA MAANA ZAKO

USIPENDE KUTUMIA ALAMA ZA WHATSAPP BILA KUZIELEWA . HIZI NI BAADHI YA ALAMA ZA WHATSAPP NA MAANA YAKE:-

❤ pendo la moyoni
💋busu zito
💕pendo changa
👄busu la pozi
💗pendo  linalostawi
💌siri ya mapenzi
🍓tunda la mahaba
💑marafiki wakongwe
💏marafiki vijana
💔mapenzi yamevunjika
💚pendo linalochipua
💜mahaba
💙nawapenda nyote
💛wivu
💞pendo lililoshikana
💖penzi lenye wivu
💢penzi njia panda
😄cheko
😊tabasamu pana
😉mkonyezo
😍nakupenda
😘busu la upendo
😚 busu
😜mzomeo
😝cheko mkoleo
😛cheko
😳mshangao
😁hasira
😔huzuni
😌tabasamu la huzuni
😣hasira za kipole
😂cheko mkoleo wa mchozi
😭kilio
😪majonzi
😫kilio cha kelele
😱mzomeo
😡hasira kavu
😋tamaa
😷kimya
😎kipofu
😲miayo
😏dharau
🙈aibu
👍 vizuri
👎si vizuri
👌msuto
👊 ngumi
✊tano
✌Amani
👋kibao
✋Jambo
👐 kukana
👆juu
👇chini
👉mbele
👈nyuma
🙌 jisalimishe
🙏amen,asante
👏makofi
💪msuli
🏃mbio
👫mimi na wewe
🙆 Mungu Wangu
👀mchungulio

Natumai  mmeelimika. Elimisha wenzio ili tutukuze Kiswahili katika jamii.
Ahsanteni.

No comments:

Post a Comment