Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Monday 27 August 2012

Karibu Katika Blog ya Adam Alphonce Kivenule



Adam Alphonce KivenuleBlogu hii imetengenezwa rasmi kwa ajili ya matumizi ya Adam Alphonce Sigatambule Kivenule ili kuujulisha umma wa Watanzania na wasio Watanzania, ndani na nje ya Tanzania, Bara la Africa na Ulimwengu kwa ujumla; kuhusiana na masuala mbalimbali ya maendeleo, siasa, utamaduni, jamii, uchumi na michezo.

Habari ambazo zitakuwa zinaandikwa katika Blogu hii hazichagui wala kumkandamizi mtu yeyote kwa mujibu wa rangi, kabila, jinsia, umri na mengine mengi.

Mimi binafsi ni Mzaliwa wa Mkoa wa Iringa. Kabila langu ni Mhehe na ninatoka kwenye ukoo wa Kivenule, ambao una historia kubwa hususani katika medeni ya vita. Ukoo wa Kivenule kama unavyofahamika na wengi, ulipatikana kama jina la sifa. Kwa asili ya Kivenule wote ni akina Balama.

Ninakaribisha maoni, mawazo ya kujenga na ushauri na mambo mengine mengi yenye nia ya kuboresha blogu hii. Pia angalia blog hii kwa taarifa za Tagumtwa: www.tagumtwa.blogoak.com

Natangulisha shukrani zangu,

Ndimi,
 

Adam Kivenule

No comments:

Post a Comment