Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Wednesday 16 December 2015

MATUKIO YA KUKUMBUKANA NA BAADHI YA WANACHUO WENZANGU

Ilikuwa ni siku ya furaha kwa Wabunge (viongozi wa wanachuo) pale walipofanya sherehe ya kuagana huku wakiwashirikisha wanachuo wenzao. Sherehe hiyo haikuweza kuwaalika viongozi wa Serikali ya Wanachuo kwa kile kilichodaiwa kutowajibika ipasavyo katika utendaji wao, pamoja na malalamiko kadhaa ambayo yalielekezwa kwenye uongozi huo.

Mwadili wa Chuo alikuwa mmoja wa waalikuwa na alihutubia warsha hiyo, huku akipiga picha ya pamoja na Wabunge. 

Yafuatayo ni matukio katika picha:
Waheshimiwa Wabunge wakiwa wamesimama mbele ya Ukumbi uliopo katika Library ya Chuo hicho.

Waheshimiwa Wabunge wakiwa na Mgeni Rasmi, Mhe. Mwadili wa Chuo (aliyechuchuma na baadhi ya wabunge) katika bustani ya Chuo

Waheshimiwa Wabunge wakiwa katika picha ya pamoja, katika garden ya Chuo

Waheshimiwa Wabunge: Kutoka kushoto ni Emanuel Sulle, Jose Mniko (Spika) nyuma, tatu nyuma, Mwinuka, Rajabu, David, Adam Kivenule, Malunguja na James

Waheshimiwa Wabunge wakiongozana na Mgeni Rasmi (Mwadili wa Wananchuo) kuingia katika ukumbi wa sherehe

No comments:

Post a Comment