Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Sunday 10 September 2023

TANZIA

 


Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) kwa niaba ya Familia ya Edgar Sigatambule Kivenule wa Kibamba, Dar es Salaam, wanatangaza kifo cha ndugu yetu Stewart Edgar Kivenule kilichotokea Mkoani Dodoma, usiku wa kuamkia tarehe 04 Septemba 2023 kwa ajali ya gari.

Mazishi ya Marehemu Stewart Edgar Kivenule yamefanyika Kijijini Kidamali, Mkoani Iringa tarehe 7 Septemba 2023.

Ukoo wa Kivenule unawapa pole ndugu, jamaa na marafiki ya Familia ya Edgar Kivenule na Steward Kivenule.

Mungu Aiweke Roho yake Mahali Pema Peponi, Amina.



2 comments:

  1. Apumzike kwa Amani na mwanga wa milele amwangazie..Mungu azidi kuwapa nguvu na faraja familiya katka kipindi hiki kigum kwao.

    ReplyDelete
  2. Asante kwa pole. Amen

    ReplyDelete