Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Friday 12 October 2012

AJALI NYINGI ZINATOKEA KWENYE MAENEO YALIYO KWENYE MIINUKO YA BONDE LA UFA

Barabara nyingi ambazo zimepitia katika maeneo ya miinuko na milima mikubwa zimekuwa katika mazingira ya kuchangia ajali nyingi tofauti tunavyofikiri. Ajali hizi baadhi yao zinachangiwa na mazingira halisi ya Jiografia ya maeneo husika. Kwa mfano, kwenye kingo za bonde la ufa kumekuwa na tatizo kubwa la ujenzi wa miundo kama ilivyo katika milima ya Kitongo, Senkenge, Salanda, Wami, Nyang'olo na Lukumbulo. Kutokana na hali hiyo, barabara zimekuwa na kona na miteremko mikali ambayo mara nyingi husababisha madereva kushindwa kuyamudu magari yao baada ya mifumo ya breki kupata hitilafu. Zifuatazo ni baadhi ya picha zilizopigwa katika barabara ya Tunduma kwenda Mbeya.









No comments:

Post a Comment