Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Thursday 26 November 2015

AROBAINI YA MAREH. LILIAN IGNAS KIVENULE


AROBAINI (40) YA MAREHEMU LILIAN IGNAS KIVENULE

Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) kwa niaba ya familia ya Ignas Kivenule na Mme wake Mareh. Lilian Kivenule, inatumia fursa hii kuwafahamisha ndugu, marafiki na jamaa wa karibu, kuwa Arobaini ya ndugu yao mpendwa itakuwa tarehe 05 Desemba 2015.

 

Arobaini hiyo inatarajiwa kufanyika nyumbani kwa wazazi wa marehemu, Buyuni – Chanika, Mkoani Dar es Salaam. KAUKI na Familia ya Ignas Kivenule kwa pamoja, wanawaomba ndugu, jamaa, marafiki na umma kwa ujumla kujumuika nao siku hiyo.

 

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa, Jina lake Lihimidiwe, AMINA.

 

Imetolewa na kusambaza na:

 

Adam Kivenule

Katibu Mkuu – Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI)


--
Adam Kivenule
P.O. Box 3255,
Dar es Salaam
Mob. +255 713 270364
E-mail: kivenule@gmail.com / KAUKI2006@gmail.com
Blog: www.adamkivenule.blogspot.com
Twitter: www.twitter.com/kivenule

No comments:

Post a Comment