Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Thursday 5 November 2015


TANZIA

Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) kwa niaba ya wana ukoo wa Ukoo wa Kivenule, inatoa pole na masikitiko kwa msiba wa ndugu yao Lilian Ignas Kivenule, aliyefariki usiku wa tarehe 31 Oktoba 2015 na kuzikwa siku ya tarehe 02 Oktoba katika Makaburi yaliyopo Buyuni Chanika, mkoani Dar es Salaam.


Kuondoka kwa Lilian Kivenule kumeacha pengo kubwa kwa ukoo wa Kivenule, hususani familia yake na wazazi wake. Ni kifo cha ghafla na hakikutegemewa.


Kama Ukoo na KAUKI tunasema hiyo ni mipango ya Mungu. Kilichobaki ni kumwombea ili aweze kupumzika kwa amani.

Rest in Peace Lilian..

Kama wana Ukoo na KAUKI kwa ujumla, ndugu, jamaa na marafiki tutakukumbuka daima.

Asante,

Imetolewa na:

Adam Alphonce
Katibu - Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI)


No comments:

Post a Comment