Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Thursday 14 January 2016

MAAJABU YA NJOZI

MAAJABU YA NJOZI

Ilikuwa ni muda wa saa 7 usiku nashukuru Mungu niliweza kutembea mpaka posta kutokea Gymkana na hakukuwa na basi ilinilazimu niende ATM kutoa pesa ili nipande taksi nikiwa naenda nilipishana nadada mmoja akiwa anakimbia sikumjali ila nilpoingia ATM sikuamini macho yangu nikuta pesanyiiiingii zimemwagka na mkoba wakike uliojaa pesa na smart phone 2 za bei kali sikupoteza muda nilivua shati na kukusanya ela zote nikazfunga vizuri nikaubeba na ule mkoba na simuniliita taksi ikanipeleka hom fasta nikiwa na waswas nilifika hom salama nikaanza kuhesabu pesa mara simu ikaita kati ya zile nilizochukuwa nikapuuzia zikaita kwa zamu kwa fujo nikapokea sauti ya kike ikasikika samahani sana naomba uniambie uko wapi nikufate please nionee hurumanilipgwabutwaa kwanza nilijikuta naropoka niko mbagala kizuiani ukishuka hapo ulizia mahakama ya chapati alijibu asante nashukuru sana kaka Mungu akulinde baadae nikajilaumu dahh! nimefanya nini sasa ?? nikaamua kulala saa 12:00 asbh simu ikaita tena nikapokea sauti iliskka nimefika naomba unifate kakaangu please nilimjibu nakuja nilitoka nje mita chache niliona prado mpyaa imesmama then kuna bint kasmamamlangoni akipgasimu simu ikaita tena nikajibu nimekuona . nilimkarbisha geto akasogeza gari hom aliniomba nimpe zilipesa na vitu vyote ni vyakwake huku machozi yakimtoka niliingiwa na huruma nikampa huku nikisema kisichorzki hakilikiakniambia usiseme hivyo yalinikuta makubwa paleATM aliondoka lakini kesho yake akaja mchana aliniomba tutoke tukatembee kidogo alinipeleka mbezi beach na kunikabidh funguo ya nyumba kubwa ya kifahari akisema zawadi yako kwa wema wako nilizimia kwa furaha nilipozinduka aliniambiaturudi hom tulifika akanimbia kafungue but ya garinilikuta pesa nyingi mmmnooo nilipanda tena gari nikaropoka nakupenda saaana alinikumbatia moyoni niksema umaskini byeeeee gafla nilshtuka baada ya kupigwapigwa bega amka amka mjomba mama kasema usipochota maji leo huli we unalala tuuuu.!!..dahhh!! dogo amekatsha ndota yangu shenz kabsaa narudia umaskini

No comments:

Post a Comment