Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Tuesday 5 February 2013

BUNGE LAAHIRISHWA TENA LEO BAADA YA KUTOLEWA KWA HOJA KALI TOKA UPANDE WA UPINZANI




BUNGE LAAHIRISHWA TENA LEO BAADA YA HOJA NZITO kutolewa na Wabunge wa Upinzani ikiwemo suala la Spika kutokuzingatia Kanuni za bunge katika utendaji wa kazi zake.

Spika Anna Makinda pia leo amekataa hoja ya Nasari kwa sababu zisizo la lazima, eti shughuli za siku zinapangwa na Kamati ya Uongozi. Kwa hiyo hoja hiyo haitaweza kujadiliwa.

Mhe. Lissu pia amekumbushia baadhi ya rufaa dhidi ya maamuzi ya Spika ya 2011 - 2012 yaliyofanyika nje ya kanuni, lakini mpaka leo hazina majibu. Spika pia akajitetea kuwa, kwa masuala yaliyotokea siku ya Jumatatu, hakuna rufaa yeyote iliyokatwa.

Licha ya Mbunge wa Ubungo kuonenesha wasiwasi wake kwa Waziri wa Maji kuvunja kanuni ya 57c ya Kanuni za Bunge kwa kuzungumza vitu ambavyo ambaviandika na kuvipanga mwenyewe. Spika alitoa majibu ya kuwa Waziri hakuvunja kanuni.

Hivi ndivyo bunge linavyoendeshwa bila ya kuzingatia kanuni.

No comments:

Post a Comment