Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Monday 11 February 2013

REJEA YA MBUNGE MSIGWA MWAKA JANA NA YANAYOTOKEA LEO BUNGENI

Mheshimiwa Peter Msigwa (CHADEMA), Mbunge wa Iringa Mjini, mwaka jana Juni 2012 wakati wa Bunge la Bajeti, alikemea tabia mbaya ya wabunge na baadhi ya viongozi, kukwepesha ukweli kuhusu matatizo yanayowakabili wananchi na badala yake kuzungumzia masuala yasiyo na kichwa wala miguu. Maneno yake yanashahibiana na hali ilivyojitokeza katika bunge lililomaliza muda wake, Ijumaa iliyopita ya mwezi Februari 2013. 

Mheshimiwa Msigwa alizungumzia masuala mengi ya msingi ikiwemo ongezeko la Deni la Taifa hadi kunifikia trilioni 20. Kwa sasa deni la Taifa ni Trilioni 21. Deni linazidi kukua huku umaskani na uduni wa maisha ukiendelea kuongezeka. 

Mheshimiwa Mbunge alizungumzia pia suala la kujitathmini na kujihoji kama kweli tunawajibika ipasavyo hasa ikizingatiwa kuwa kuna ongezeko la utegemezi hasa watoto, ambao kwa kiwango kikubwa inabidi kulishwa na kusomeshwa na taifa hili.

Ifuatayo ni hotuba yake kwa kifupi....
   

No comments:

Post a Comment