Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Friday 21 September 2012

PICHA ZA MATUKIO KATIKA MIKUTANO YA MHE. MBUNGE KATA YA MAKUBURI

CHADEMA YAZINDUA MISINGI KATA YA MAKUBURI KAMA SEHEMU YAKE YA OPERESHENI YA M4C

Zifuatazo ni baadhi ya picha za matukio katika ufunguaji wa misingi ya CHADEMA kata ya Makuburi, Jimbo la Ubungo, kama ilivyopigwa picha na mwandishi wetu.


Hapa eneo la River Side ambapo Msingi wa CHADEMA katika Kata ya Makuburi, ulihitimisha ziara ya Mhe. Mbunge Mnyika


Hapa eneo la Ubungo Kibangu Transforma karibu kabisa na Kibangu Medium School and Kanisa la Mzee wa Upako, Anthony Lusekelo, muda mfupi baada ya Mheshimiwa Mbungu kufungua msingi wa CHADEMA

Hapa ni Ubungo Kibangu, Tranforma

Mhe. Mbunge akiwasili katika viwanja vya River Side

Baadhi ya Viongozi wa CHADEMA wa Kata ya Makuburi pamoja na Mhe. Mbunge

Alama ya Chama cha CHADEMA ya Vuguvugu la Mabadiliko (Movement for Change)

Mhe. Diwani wa Kata ya Ubungo akiwasalimu wananchi na wanachama wa CHADEMA

Mhe. Mbunge, John Mnyika akiwahutubia wananchi wa eneo la Kata ya Makaburi hasa wakazi wa River Side

Mhe. Mbunge, John Mnyika akiwahutubia wananchi wa eneo la Kata ya Makaburi hasa wakazi wa River Side

Mhe. Mbunge, John Mnyika akiwahutubia wananchi wa eneo la Kata ya Makaburi hasa wakazi wa River Side

Wananchi toka sehemu mbalimbali katika Kata ya Makuburi walijitokeza kumwuliza maswali Mhe. Mbunge, ambapo baadaye aliweza kuyajibu maswali yao.


Carolyn Kivenule hakuwa mbali katika kumsikiliza Mhe. Mbunge, John Mnyika akiwahutubia wananchi wa eneo la Kata ya Makaburi hasa wakazi wa River Side

Mandhari ya eneo la Ubungo RiverSide, mara baada ya kukamilika kwa ukumbi wa kisasa wa Sherehe mbalimbali

Mhe. Mbunge, John Mnyika akiwahutubia wananchi wa eneo la Kata ya Makaburi hasa wakazi wa River Side

No comments:

Post a Comment