Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Tuesday 27 August 2013

RATIBA YA MKUTANO MKUU WA SITA WA UMOJA WA UKOO WA KIVENULE-Magubike 2010

RATIBA YA MKUTANO MKUU WA SITA WA UMOJA WA UKOO WA KIVENULE-KAUKI

Siku ya Kwanza ya Mkutano Mkuu – Magubike: Tarehe 26 Juni 2010

Muda

Shughuli/Jukumu

Wahusika

12.00 – 12.45

Wageni Wote Kuamka na Kufanya Maandalizi ya Kuingia kwenye Mkutano

Wote

12.45 – 01.15

Kupata Kifungua Kinywa

Washiriki wote

01:15 – 02:00

Kuwasili Mkutanoni na Kujisajili na kupata vitambulisho

Washiriki wote

02.00 – 02.20

Kusoma Hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Sita wa KAUKI

Mwenyekiti wa KAUKI

02.20-02.45

Ufunguzi Rasmi wa Mkutano na Mgeni Rasmi

Mgeni Rasmi

02.45-03.15

Utambulisho baina wa Ndugu na Wageni Waalikuwa

Wote

03.15 – 04:00

Mada: CHIMBUKO NA HISTORIA YA UKOO WA KIVENULE

(a). Washiriki wasambaziwe nakala ya muundo wa Ukoo na kisha kuujadili na kutoa mawazo yao katika makundi

Mwakilishi toka  Kidamali

Mwakilishi toka Ilole

mwakilishi toka Nduli

Washiriki wote

04:00– 04:30

Pumziko la Chai / Kahawa/Maji

Washiriki Wote

04.30-04.45

Mada Inaendelea.

(b). Washiriki waijadili mada na kutoa mapendekezo

(c). Washiriki waijadili mada na kupendekeza nini kifanyike kutunza kumbukumbu hizo

(d). Washiriki wazijadili njia mbadala za kutunza taarifa zinazohusiana na ukoo

Wawezeshaji na Washiriki wote

04.45-05.05

Kuwasilisha majadiliano katika Makundi

Washiriki wote na Wawezeshaji

05.05-05.30

Majumuisho ya yote yaliyojitokeza katika Mada

Wawezeshaji

05:30 – 06:30

TAARIFA YA UTENDAJI WA KAUKI:

1. Mipango na Shughuli zilizokusudiwa kufanywa na KAUKI 2009/2010;

2. Taarifa ya Utendaji kwa Ujumla;

3. Taarifa ya Mahesabu na Fedha; na

1.                   Mafanikio na Matatizo ya KAUKI

4. Matarajio ya KAUKI 2010/2011

Katibu Mkuu

Mhasibu

06.30 – 07.00

TAARIFA YA SHUGHULI ZA MAENDELEO KATIKA KANDA

1. Uhamasishaji

2. Mwitikio wa Jamii inayounda Ukoo

3. Ushirikiano miongoni mwa wanajamii

4. Mafanikio na Matatizo

Viongozi wa Kanda zote

07.00-08.00

CHAKULA CHA MCHANA

Washiriki wote

8:00 – 8:45

KUSOMA RIPOTI YA MKUTANO MKUU WA TANO WA KAUKI

Kujadili Mapungufu, Kutoa Ushauri, Nyongeza

Kupitisha Ripoti

Katibu Msaidizi

Washiriki wote

08:45 – 09:15

Salaam mbalimbali kutoka kwa Washiriki wa Mkutano Mkuu (Wastani watu 6 na dakika @ 5)

Washiriki wa Mkutano

09:15– 09:45

Pumziko la Chai/Kahawa/Maji

Washiriki wote

09.45 -11:00

UZOEFU WA WANAUKOO KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO

1.Kidamali/Magubike: Kilimo cha Nyanya /Tumbaku na shughuli nyingine za kiuchumi dakika 25

2. Irole/Nduli/Itagutwa/Mgongo: Uzoefu wa Shughuli za Kiuchumi dakika 25

3. Dar/ Morogoro/ Kilombero / Moshi dakika 15

4. Kalenga, Ifunda, Ilala Simba, Wasa, Idodi na Nyamihuu

Washiriki wote; viongozi wa Kanda au wajumbe watakaochaguliwa kutoa uzoefu wa shughuli hizo za kiuchumi

11.00

KUAHIRISHA MKUTANO

Mwenyekiti wa KAUKI

2:30 – 6:30 Usiku

Burudani (Muziki wa Kisasa na Ngoma za Asili), vinywaji, kufahamiana zaidi na kubadilisha mawazo

Wanaukoo wote

 

Siku ya Pili ya Mkutano Mkuu – Magubike: Tarehe 27 Juni 2010

Muda

Shughuli/Jukumu

Wahusika

12.00 – 12.45

Wageni Wote Kuamka na Kufanya Maandalizi ya Kuingia kwenye Mkutano

Wote

12.45 – 01.15

Kupata Kifungua Kinywa

Washiriki wote

01:15 – 02:00

Kuwasili Mkutanoni na Kujisajili

Washiriki wote

 

02.00-02.45

MADA: CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI KAUKI KUJILETEA MAENDELEO

1. Nini kifanyike kwa wana-KAUKI kujiletea Maendeleo?

2. Mnadhani ni vitu gani vipewe Kipaumbele kwa wanaukoo kunufaika na KAUKI!

3. Baadhi ya Malengo ya KAUKI ambayo mnayafahamu mnadhani yatasaidia kuleta mabadiliko? Na ni kwa namna gani? Jadili

4. KAUKI ni sehemu tu ya vikundi vingi vinavyofanya jitihada za kujiinua kiuchumi na kimaendeleo, mnadhani ni changamoto gani tunaipata ukilinganisha na mafanikio au matatizo ambayo yamevipata vikundi vingine? Yajadili na kuyatoa mapendekezo hayo

Wawezeshaji na washiriki wote

02.45-03.15

Majadiliano katika Makundi : Kila mshiriki ajidiliane na wana kundi kikamilifu na kutoa hoja za msingi za kujenga. Kila hoja ya msingi iwasilishwe ila kila mwanaukoo asikie.

Washiriki wote wagawanyike katika makundi

03.15-03.45

Makundi kuwasilisha hoja kutoka katika makundi yao

 

Washiriki wote

03.45-04.30

Majumuisho ya yote yaliyojitekeza katika Mada

Wawezeshaji

04:30 – 05:00

Pumziko la Chai / Kahawa/Maji

Washiriki Wote

05.00-06.00

MAJADILIANO YA HOJA MBALIMBALI AMBAZO ZIMEWASIISHWA NA WASHIRIKI WA MKUTANONI

 

Washiriki wote na Viongozi wa KAUKI

06.00-07.00

MAHITAJI YA KAUKI NA JINSI YA KUFANIKISHA KUPATIKANA KWA MAHITAJI HAYO: Huu ni mjadala wa jumla na kila mjumbe wa mkutano anashiriki moja kwa moja kutoa mawazo yake. Katibu na watendaji wengine wa KAUKI wana jukumu ya kuyanakili maswali na majibu yote kwa ajili ya kufanyiwa kazi

Washiriki na Viongozi wa KAUKI

07.00-08.00

CHAKULA CHA MCHANA

Washiriki wote

08:00–09.00

HISTORIA YA WAHEHE

1.       Kuibuka kwa tawala mbalimbali ndani ya Uhehe (Wanitole, Wahabeshi, Wangazija)

2.       Chimbuko la Koo mbalimbali mkoani Iringa

3.       Mahusiano yaliyopo baina ya koo zilizoibuka wakati wa vita za kikabila na wageni

4.       Mgawanyiko wa Koo katika Mkoa wa Iringa

 

1.       Ndugu Chonya-Mwezeshaji

2.       Mwl. Israel Mposiwa

      Mwezeshaji  

3.       Ndg. Adam Kivenule

4.        

09:00–09:30

Pumziko la Chai/Kahawa/Maji

Washiriki wote

09.30-11:00

1.       MAJUMUISHO NA TATHMINI YA MKUTANO

2.       MIPANGO NA MIKAKATI YA MBELENI

3.       KUTANGAZWA KWA TAREHE YA MKUTANO MKUU WA SABA

4.       SHUKRANI

5.       KUFUNGA MKUTANO

VIONGOZI WA KAUKI NA Washiriki wa Mkutano Mkuu

 

No comments:

Post a Comment