Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Tuesday 27 August 2013

TANGAZO LA MKUTANO LENYE MAELEZO MENGI (3)

 

TANGAZO LA MKUTANO

 

MKUTANO MKUU WA 10 WA UMOJA WA UKOO WA KIVENULE - KAUKI

 

KAUKI NI NINI? Ni Umoja wa Ukoo wa Kivenule, ulioanzishwa rasmi mwaka 2005, kukabiliana na changamoto mbalimbali za maendeleo, zinazoikabili jamii inayounda umoja huu; hususani katika kujikwamua na ugumu wa maisha na pia kutumia fursa zinazopatikana ili kukabiliana na kuondokana na wimbi la umaskini, ujinga, maradhi na utegemezi.

DIRA YA KAUKI: Ni kuwa na jamii elewa, angavu na inayowajibika kwa kujitegemea

MAONO YA KAUKI:         Ni kujengeana uwezo kwa kutumia raslimali, stadi, ujuzi, maarifa na weledi, kupitia mafunzo,                                    kongamano, mijadala na mikutano

LENGO KUU LA KAUKI: Ni kuinua na kuboresha maisha ya wanaukoo, kielimu, kiuchumi na kisayansi kwa kutumia ujuzi, maarifa na raslimali zinazotuzunguka. Mipango ya KAUKI inajikita katika kujiimarisha katika ngazi zote za kiutendaji, kiuendeshaji na kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kielimu, kisiasa, kimaendeleo na kimapinduzi.

MUUNDO WA KAUKI: KAUKI inaundwa na Kanda Sita za Kidamali, Irore, Nduli, Magubike, Mufindi na Dar eS Salaam. Mkutano Mkuu wa KAUKI hufanyika mara moja kila mwaka. Pia kuna mikutano ya Kamati ya Utendaji. Kuna Uongozi wa KAUKI na Viongozi wa Kanda.

MAHALI UNAPOFANYIKA MKUTANO: Kanda ya Kidamali, Iringa Vijijini

TAREHE YA MKUTANO: Jumamosi na Jumapili ya tarehe 28 - 29 Juni 2014

WAALIKWA KWENYE MKUTANO: Ndugu, Wanaukoo, Wageni Waalikwa na Wadau wa Maendeleo

MAHITAJI YA MKUTANO: Chakula, Maji, Kalamu, Daftari, Chati Mgeuzo, Makapeni na Manila

OMBI LA MICHANGO: KAUKI inaomba michango ya Fedha Taslimu, Nafaka (Mahindi, Unga, Maharage, Kunde, Karanga, Mchele); Mifugo (Kuku, Bata, Mbuzi nk); Kuni; Mkaa; Mafuta ya Kula; Mafuta ya Taa; Chumvi, Sukari, Unga wa Ngano Nk.

TAARIFA NA MAWASILIANO: Simu: 0755914505, 0714 146382, 0787 843561, 0713 270364,  0755293193

Tovuti: www.tagumtwa.blogoak.com / www.kauki-kauki.blogspot.com / www.tagumtwafoundation.wetpaint.com / www.facebook.com/tagumtwa Barua pepe: tagumtwa@gmail.com / kauki2006@gmail.com / tagumtwa.kauki@gmail.com

 

Mawasiliano Kanda ya Kidamali

 

UONGOZI WA KAUKI

Kamati ya Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 9 wa KAUKI

1.      George S. Kivenule-Mwenyekiti wa Kamati-0755914505

2.      Jovin S. Kivenule - Katibu wa Kamati-        0754026106

3.      Faustino Kivenule-Mwenyekiti KAUKI-         0755293193

4.      Justin D. Kivenule-Mweka Hazina-              0787 843561

 

Faustino Sigatambule Kivenule -Mwenyekiti  0755293193

 

Adam A. Kivenule                   -Katibu Mkuu 0713 270364

 

Christian J. Kivenule               -Makamu Mwenyekiti 0714 146382

 

Justin D. Kivenule                  -Mweka Hazina-0787 843561

Vitus Nzala                            -Katibu Msaidizi - 0788282046

E-mail: KAUKI2006@gmail.com www.kauki-kauki.blogspot.com

    

 

 

No comments:

Post a Comment