Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Wednesday 30 January 2013

HATIMAYE LULU AACHIWA HURU KWA DHAMANA



MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo imemwachia kwa dhamana msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kumuua msanii mwenzake wa filamu Steven Kanumba Aprili 7, 2012 bila kukusudia baada ya kukamilisha taratibu zote za dhamana

Angalia picha Matukio Jana Hiyoooo!!!
Lulu kushoto akiwa na mama yake ndani ya gari baada ya kupata dhamana jana, Januari 29, 2013

Lulu (katikati) akitoka eneo la mahakama baada ya kukamilisha dhamana yake.

Kutoka kushoto ni mama mzazi wa Lulu Lucresia Karugila, wakili wa Lulu bwana Kibatala na Dk. Cheni wakijadili jambo wakati wakisubiri dhamana ya Lulu.

Lulu akiingia katika chumba cha msajili wa mahakama ili kukamilisha dhamana yake.

Gari lililombeba Lulu likiondoka mahakamani.

Lulu akiongea na wanahabari (hawapo pichani) baada ya kupata dhamana leo.

Add caption

  


No comments:

Post a Comment