Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Wednesday 9 January 2013

Tanzia

TANZIA

Enzi za uhai wakeUmoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) Kanda ya Dar es Salaam, kwa masikitiko makubwa, unawatangazia ndugu, jamaa na marafiki, Kifo cha Flomina Pangalasi Kivenule, kilichotokea siku ya Ijumaa ya tarehe 28 Desemba 2012, saa tano asubuhi katika hospitali ya Ocean Road Jijini Dar es Salaam.

Taarifa za awali zinaonesha kuwa Marehemu Flomina amefariki kutokana na tatizo la upungufu wa damu ambapo kwa tarehe 24 Desemba tatizo lake lilipogundulika.

Mipango ya mazishi inafanywa na ndugu wa marehemu nyumbani kwake, Mbezi Inn.
 

Mwenyezi Mungu Ametoa, Pia Ametwaa, Jina la Mungu lihimidiwe, Amina.


Imeandaliwa na Kutolewa na:



Adam Kivenule
Katibu - KAUKI

No comments:

Post a Comment