Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Wednesday 9 January 2013

LILIAN KIVENULE AAGWA

LILIAN IGNUS KIVENULE AAGWA NA FAMILIA YAKE


Usiku wa tarehe 02 ya mwezi Januari mwaka 2013, ulikuwa wa aina ya pekee kwa Familia ya Lilian Ignus Pangayena Kivenule, pale binti yao mpendwa Lilian alipoagwa na wazazi wake, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki katika ukumbi wa Kanisa la Yesu Mfalme, lililopo Tabata, Jijini Dar es Salaam.

Lilian Ignus Pangayena Kivenule
Lilian Kivenule akikata keki katika moja ya sherehe zake kabla ya kuagwa siku ya tarehe 02 Januari 2013 katika Ukumbi wa Yesu Kristo Mfalme, Tabata Jijini Dar es Salaam

Ilikuwa ni siku ya furaha kwa familia yake ambayo imemlea hadi kufikia hatua hiyo muhimu ya kupata mwenzake wa kushirikiana katika shida na raha katika siku zao za maisha hapa duniani.




Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) unawatakia kila la kheri katika maisha yao mapya. Mwenyezi Mungu awazidishie pale panapopungua.

Kwa picha za matukio katika siku hiyo, angalia links hizi hapa kutoka facebook

http://www.facebook.com/photo.php?fbid=520831541294309&set=at.517995654911231.124811.100001024023552.100001498014794&type=1&theater

http://www.facebook.com/photo.php?fbid=454121264647803&set=a.205615882831677.48963.100001498014794&type=1&theater

Lilian Ignus Pangayena Kivenule
Lilian Kivenule akipongezwa na marafiki siku ya Kuagwa kwake katika ukumbi wa Yesu Kristo Mfalme


Lilian Ignus Pangayena Kivenule
Liliani Kivenule akimkaribisha mmewe mtarajiwa kwenda kupata chakula siku ya sherehe ya kuagwa kwake, katika ukumbi wa Kanisa la Yesu Kristo Mfalme, Tabata Jijini Dar es Salaam

Asante,




Imeandaliwa na:




Adam Kivenule

Katibu - KAUKI

No comments:

Post a Comment