Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Washiriki wa Mkutano Mkuu wa13 wa KAUKI

Washiriki wa Mkutano Mkuu wa13 wa KAUKI
Washiriki wa Mkutano Mkuu wa13 wa KAUKI

Nembo ya Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI)

Nembo ya Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI)
Nembo ya Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI)

Wednesday, 30 January 2013

TUZIPENDE MBUGA ZETU JAPO TUDHULUMIWA NA WENYE MAMLAKA

Tanzania ni nchi ambayo kwa miaka mingi ilijaliwa kuwa na raslimali nyingi na za kuvutia zikiwemo mbuga za wanyama. Kwa sasa hali ni tofauti kwa sababu ujangili unaofanywa na watendaji na viongozi wa nchi ya Tanzania unaendelea kuziangamiza mbuga zetu. Mfano mzuri tu kuendelea kukamatwa kwa nyara za serikali zinazojumuisha pembe na meno ya Tembo, hali inayotishia kutoweka kwa viumbe hawa wa kuvutia.

No comments:

Post a Comment