Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla

Mchakato wa Kuandaa Kitabu cha Chimbuko, Muundo na Historia ya Ukoo wa Kivenule na Uhehe kwa Ujumla
Karibu uone yale ambayo KAUKI inafanya

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014

Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI, 2014
Chimbuko na Muundo wa Ukoo wa Kivenule (2005 - 2009)

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI

Mkutano Mkuu wa10 wa KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Wednesday 30 January 2013

TUZIPENDE MBUGA ZETU JAPO TUDHULUMIWA NA WENYE MAMLAKA

Tanzania ni nchi ambayo kwa miaka mingi ilijaliwa kuwa na raslimali nyingi na za kuvutia zikiwemo mbuga za wanyama. Kwa sasa hali ni tofauti kwa sababu ujangili unaofanywa na watendaji na viongozi wa nchi ya Tanzania unaendelea kuziangamiza mbuga zetu. Mfano mzuri tu kuendelea kukamatwa kwa nyara za serikali zinazojumuisha pembe na meno ya Tembo, hali inayotishia kutoweka kwa viumbe hawa wa kuvutia.

No comments:

Post a Comment